Baada ya kumalizana na Mutale, Simba kushusha kiungo mkabaji
Baada ya kudaiwa kumalizana na Joshua Mutale kutoka Zambia, mabosi wa Simba wameanza kumfuatilia kiungo mkabaji wa Rivers United, Augustine Okejepha (20) ili atue kuiboresha timu hiyo msimu ujao.
.
Kiungo huyo inadaiwa anaonwa ni chaguo sahihi Simba kwa ajili ya msimu ujao, japo timu mbalimbali zimeonyesha kuvutiwa naye ikiwemo, FC Ural ya Urusi inayoshiki Ligi Daraja la Kwanza.