Augustine Okrah apewa thank you Yanga

Ni rasmi, Augustine Okrah hatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga msimu ujao.

Baadhi ya viongozi wa Yanga SC walitaka Okrah abaki lakini kocha Miguel Gamondi amewaambia kuwa, Okrah hayupo kwenye mipango yake, Yanga ichague kati ya Gamondi na Okrah, nani abaki !.

Okrah amevunjiwa mkataba rasmi, amerejea katika klabu aliyotoka, Bechem United.

Okrah na wanasheria wake wamesema wataipeleka Yanga SC (FIFA) ikiwa hawatawalipa pesa wanazodai.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI