YAMMY AMFUKUZISHA MKE KWA BARNABA

Baada ya Barnaba kuachia picha za wimbo mpya akiwa na yule bint kitovu nje Yammy tz, huku Yammy akiwa nusu uchi na mchupi kama mcheza X, mke wa Barnaba Raya (Pichani) anayesifika kwa ubabe ameshindwa kuzuia povu lake amekimbia nyumbani na cm hapokei

Picha iliyozua gumzo na Sms Raya aliyomtumia Barnaba nmekuekea hapo chini kwenye comments. Hizi couple za wasanii haziish vituko aisee


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI