Taifa Stars ilivyoelekea Indonesia

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars jana kimesafiri kuelekea nchini Indonesia kwa ajili ya mchezo wa kirafiki kujiandaa na mechi yake ya kufuzu kombe la Dunia dhidi ya timu ya taifa ya Zambia.

Wachezaji wa timu hiyo wote waliungana pamoja na kukwea pipa kuelekea huko ambapo watacheza mchezo huo.

Baadhi ya wachezaji hawakuonekana katika msafara huo akiwemo kiungo mshambuliaji wa Simba Kibu Denis


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI