Simba yatua kwa Mzize


Klabu ya Simba imeonyesha nia ya kutaka kumsajili straika wa Yanga, Clement Mzize ambaye amekuwa na msimu bora Jangwani.

Simba baada ya kuona upo uhitaji wa straika ili kuimarisha kikosi chao, klabu hiyo moja kwa moja imemlenga Mzize na sasa viongozi wamelivalia njuga suala hilo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI