Simba na Azam zamgombea mshambuliaji wa San Pedro


Simba SC na Azam SC zote zimeulizia upatikanaji wa huduma ya mshambuliaji wa kati raia wa Ivory Coast ambaye kwa sasa anakipiga SAN PEDRO FC, Bedi Guy Stephanie (28).

Mshambuliaji huyo mzoefu amekuwa katika kiwango kizuri tangu asajiliwe San Pedro kwani msimu huu ameshinda kiatu cha mfungaji bora akiwa na mabao 15.



MCB MICHEZO, HERE WE GO 🤝👊🫵🛜💻

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI