Mundele kumfuata Ngoma Simba

Nimearifiwa kwamba nyota wa zamani wa AS Vita na Orlando Pirates Jean Makusu Mundele anatarajia kutua nchini siku ya Jumamosi pamoja na wakala wake Fausta World ili kukamilisha mazungumzo yake na klsbu ya Simba.

Endapo kama watafikia makubaliano Mundele na asimba  watasaini mkataba wa miaka miwili ingawa pia mchezaji huyo anawindwa na Ihefu.

Mundele ataungana na Fabrice Ngoma ambaye naye amewahi kucheza timu moja na Mundele, wawili hao walikuwa wanaichezea AS Vita 

Mundele kujiunga na Simba

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI