Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Msimu ujao Yanga kuanzia hatua ya awali Ligi ya mabingwa Afrika


Kuelekea michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika 24|25 klabu ya Yanga inaweza isianzie hatua ya awali | Preliminary round.

Kwa mujibu wa (CAF) timu (10) za juu kwenye viwango wa (CAF) hazianzii preliminary round kwenye ligi ya Mabingwa.

Currently club Ranking :

01. Al-Ahly Cairo (82)
02. Esperance de Tunis (61)
03. Wydad Casablanca (60) - ❌
04. Mamelodi Sundowns (54)
05. Zamalek (43) - ❌
06.RS Berkane (42) - ❌
07. Simba SC (39) - ⚠️
08. Petro Atletico - (39)
09. TP Mazembe - (38)
10. CR Belouizdad - (37)
11. USM Alger (36) - ❌
12. Raja Casablanca - (35)
13. 🇹🇿 Young Africans SC - (31)
14. 🇨🇮 ASEC Mimosas - (30)

𝗞𝘄𝗮 𝗻𝗶𝗻𝗶 𝗮𝘀𝗶𝗮𝗻𝘇𝗶𝗲 𝗽𝗿𝗲𝗹𝗶𝗺𝗶𝗻𝗮𝗿𝘆 ?

Klabu (4) zenye (X) zilizo juu ya Yanga SC kwenye viwango vya (CAF) hapo kwenye list hazitashiriki ligi ya Mabingwa Afrika 24|25, wanaenda Shirikisho (CAF).

Maana yake ukizitoa timu hizo Yanga anaingia kwenye top (10) ya timu bora ambazo zina qualify kutoanzia hatua ya awali Preliminary round CAF champions league msimu ujao 24|25.. Yaani :

01 ◉ Al-Ahly Cairo
02 ◉ Esperance de Tunis
03 ◉ Mamelodi Sundowns
04 ◉ Simba (Hakuna uhakika)
05 ◉ Petro Atletico
06 ◉ TP Mazembe
07 ◉ CR Belouizdad
08 ◉ Raja Casablanca
09 ◉ Young Africans
10 ◉ ASEC Mimosas

Iwapo Simba asipofuzu kushiriki ligi ya Mabingwa Afrika timu nyingine iliyo nyuma ya ASEC Mimosas itaingia top (10) na kupata sifa ya kutoanzia preliminary round.

Pia Young Afticans SC wakiingia group stage watawekwa kwenye POT (B) tofauti na POT (C) walipokuwa last season.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa orodha ya viwango vya ubora wa klabu barani, Simba ikiendelea kuwa juu ya klabu nyingine za Tanzania, nafasi ya tano. Orodha hiyo imetoka leo kuelekea droo ya hatua za awali za michuano ya klabu Afrika ambayo kwa mara ya kwanza kihistoria itafanyika nchini katika studio za Azam Tv, Tabata Jijini Dar es Salaam. Yanga ambayo kama Simba itashiriki Ligi ya Mabingwa — yenyewe inashika nafasi ya 12, wakati timu nyingine katika orodha hiyo ni Namungo FC wanaoshika nafasi ya mwisho, ya 75 kwa pamoja na Salitas FC ya Burkina Faso, Ahli Benghazi ya Libya na NAPSA Stars ya Zambia. Kwa msimu ujao mbali na Simba na Yanga kushiriki Ligi ya Mabingwa, Azam FC na Singida Black Stars zitashiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

Timu inaitwa Mashujaa Lake Tanganyika FC ( Mashujaa FC ) ilianza rasmi kampeni yake ya kupanda Ligi Kuu tarehe 29/9/2018 na imepanda Ligi Kuu 25/06/2023 miaka mitano ya kupambana kwenye Ligi Daraja la kwanza Championship. Timu hii inaendeshwa kwa ushirikiano wa pande mbili kati ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa niaba ya Wananchi wa Kigoma. Muelewe hapa maana wengi wanasema ni timu ya Jeshi asilimia 100% Nembo ya timu ni Sokwe Dume, Shujaa wa Hifadhi za Gombe na Mahale zilizopo mkoani Kigoma. Rangi ya kwanza ya jezi ya timu (first kit) ni hiyo hapo chini na kwenye nembo ya timu ni rangi za tunda la michikichi (mawese ). Hii kama njano ni mawese yaliyoganda na huo wekundu ni mawese ya moto. Ukishika tunda la Mse juu utaona wekundu na ukikata katikati utaona njano. Nyeupe ni ‘nazi’ ya Mse hizi ni alama za utajiri wa Kigoma Jezi nyingine ni blue inayowakilisha Ziwa Tanganyika na Jezi nyingine ni Nyeupe

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

Miongoni mwa viungo wa pembeni wanaofanya vizuri ni Benodict Khalfan Ngassa ambaye amekuwa akifanya vizuri. Ngassa ambaye ni mtoto wa mchezaji wa zamani wa Pamba Jiji na Simba SC, Khalfan Ngassa, pia ni mdogo wa kiungo mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Simba na Azam, Mrisho Ngassa anatajwa ni mmoja kati ya wachezaji wanaotazamiwa kufanya makubwa siku za usoni. Mambo Uwanjani Blog itawaletea Makala maalum ya kiungo huyo hatari ambaye ndoto zake ni kufuata nyayo za kaka yake Mrisho Ngassa. Beno Ngassa