Mbwana Samatta abeba kombe Ugiriki

Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana samata ametwaa Ubingwa Wa Ligi Kuu Ya Ugiriki akiwa Na PAOK FC / ΠΑΕ ΠΑΟΚ kwa Msimu wa 2023/24.

Kama Samata ataendelea kusalia katika viunga vya mabingwa hao basi msimu ujao tutamwona tena akikiwasha katika michuano ya UEFA Champions League.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI