Kiungo mpya Simba akinukisha timu ya taifa Togo

Kiungo wa klabu ya Ihefu Sc Marouf Tchakei akiwa kwenye majukumu ya timu yake ya Taifa ya Togo.

Togo wanajiandaa na mechi mbili za kufuzu Kombe la dunia 2026 dhidi ya South Sudan (Juni 5) na DR CONGO (Juni 9)

Kumbuka Simba Sc wako mbioni kuinasa Saini ya kiungo Huyo.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI