Kibu aigomea Taifa Stars

Winga wa Klabu ya Simba,Kibu Denis amegoma kujiunga na Kikosi cha Taifa Stars kwa ajili ya kambi iliyopo Indonesia kujiandaa na Mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Indonesia.

Taarifa zinasema Kibu amesema anakwenda mapumziko nchini marekani.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI