Kelvin John ajiunga timu ya Ligi Kuu Denmark

Mshambuliajia wa Taifa Stars anayecheza KRC Genk ya Ubelgiji Kelvin John (20) amesaini Mkataba wa miaka minne kuichezea Klabu ya Aalborg FC iliyopanda daraja na sasa itacheza Ligi Kuu ya Denmark msimu wa 2024/2025.

Kelvin alijiunga na KRC Genk 2021 na baadae kupandishwa timu ya wakubwa 2022 ila hakupata nafasi sana ya kucheza.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI