FIFA yawaalika makocha wa Afrika kwenye droo ya kombe la dunia

FIFA wame waalika makocha Wakuu baadhi Kutoka Bara la Afrika kuhuduria Draw ya Kombe la Dunia Ngazi ya Klabu makocha hao ni kutokea katika vilabu Vifuatazo.

🔹 Al Ahly🇪🇬

🔹 ES Tunis🇹🇷

🔹 Mamelodi Sundowns🇿🇦

🔹Wydad 🇲🇦

Mbali na makocha hao wame jumuishwa pia viongozi wawili kuhuduria Draw iyo itakayo fanyika Marekani mwenzi ujao.

Lakini pia watafanikiwa kutembelea viwanja mbali mbali vitakavyo tumika katika Michuano iyo.

Kumbuka kombe la Dunia ngazi ya Klabu litafanyika 2025.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI