FAR Rabat yamtengea Inonga milioni 62 kwa mwezi

Taarifa kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika zinadai kuwa FAR Rabat ya nchini Morocco imemuandalia mshahara wa zaidi Tsh million 62 kwa mwezi mlinzi Henock Inonga Baka endapo atakubali kujiunga na miamba hiyo ya nchini Afrika Kaskazini.

Tetesi zimekuwa zikamhusisha nyota huyo kujiunga na AS FAR Rabat na inaelezwa alishafikia makubaliano na mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Morocco 'Botola Pro' toka Kipindi Cha michuano ya AFCON.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI