Diarra ashinda tuzo Afrika

Golikipa wa Klabu ya Yanga, Djigui Diarra ameshinda tuzo ya mchezaji bora Afrika msimu 2023/2024, tuzo hizi maalumu hutolewa nchini Mali kwa wachezaji wao waliofanya vizuri kwa msimu husika (Mali Football Awards).

Diarra ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Sadio Kanoute kiungo mkabaji wa Simba, Fily Traore mshambuliaji wa TP Mazembe, Aliou Dieng kiungo mkabaji wa Al Ahly na Abdoulaye Kanou mshambuliaji wa USM Alger.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI