Bwalya na Wydad kimeeleweka

Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Nkana Rangers ya Zambia, Al Ahly ya Misri na Wydad Casablanca ya Morocco, Walter Bwalya ameamua kuondoa kesi yake FIFA na kukubaliana kuvunja mkataba.

Bwalya aliishitaki Wydad Casablanca, FIFA, lakini amekaa chini na kuongea na viongozi wa klabu hiyo hatimaye wamekubaliana kumalizana hivyo akaamua kuondoa kesi hiyo na klabu ikaamua kuvunja mkataba wake

Kwasasa Bwalya Ni mchezaji huru na anaweza kujiunga na klabu yoyote anayoitaka


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI