Aziz Ki atasaini Yanga- Mobeto

Na Ikram Khamees

Mwanamitindo na msanii wa bongo muvi Hamisa Mobeto amesema mchezaji wa Stephanie Aziz Ki atahakikisha anabaki katika klabu ya Yanga.

Mobeto ameyasema hayo juzi kwamba atahakikisha kinara huyo wa mabao anasaini tena Yanga na akiendelea kuwapa furaha mashabiki wa timu hiyo.

Mobeto ambaye aliwahi kuonekana kwenye klabu ya Simba, akiwa kama shabiki wake, lakini ameonekana Yanga.

Msanii huyo mrembo zaidi hapa nchini ameonekana kumdatisha staa huyo wa Yanga, Aziz Ki anataka kuondoka kwenye kikosi hicho na inadaiwa anaweza kujiunga na timu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika au Pyramids ya Misri

Hamisa Mobeto

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI