AZAM FC YAIFANYIA KITU MBAYA SIMBA
Taarifa zilizonifikia mezani ni kwamba Azam FC wanakaribia kukamilisha dili la kumsajili mlinzi wa Coastal Union, Lameck Lawi nyota wa timu ya taifa ya Tanzania.
Inaelezwa kuwa Azam FC watalipa dau lisilopungua Tsh million 150 kuvunja mkataba wa nyota huyo huko Coastal Union.