Azam FC yaanza na Meza wa Colombia


Azam FC imemtambulisha, Ever Meza, kama kiungo wao mpya aliyenunuliwa kutoka klabu ya Leonnes ya Colombia.

Meza, raia wa Colombia aliyezaliwa Julai 21, 2000; alikuwa kwa mkopo kwenye klabu ya Alianza FC ya huko huko Colombia.

Amesaini mkataba wa miaka minne utakaomuweka Azam Complex hadi mwaka 2028.

Karibu sana Ever William Meza Mercado

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI