Al Ahly na ubingwa wa 12 Ligi ya mabingwa Afrika

Klabu ya Al Ahly ya Misri imetwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya 12 kufuatia ushindi wa jumla wa 1-0 dhidi ya Esperance ya Tunisia.

Bao pekee la kujifunga la Roger Aholou dakika ya 4 limetosha kuwapa ubingwa Ahly.

Mchezo wa fainali ya kwanza iliyopigwa Tunisia ulimalizika kwa sare tasa kabla ya Al Ahly kutumia vyema uwanja wa nyumbani kwa kushinda 1-0 nyumbani.

Al Ahly wanatwaa ubingwa huo kwa mara ya pili mfululizo baada ya kufanya hivyo msimu uliopita


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI