YANGA NA AIR TANZANIA WAINGIA MKATABA

Timu ya wananchiii Yanga rasmi imeingia mkataba wa miaka miwili na shirika la ndege Air Tanzania.Mkataba huu wa Yanga na Air Tanzania utakwenda kugusa..

Yanga watapata punguzo la Bei Kwa safari zao zote za ndani ya nchi na nje ya nchi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI