Usilolijua kaka yake Mbwana Samatta kumbe kwipandisha Ligi Kuu Kengold

Kaka wa Mbwana Samatta, Mohamed Samatta amesaidia kuipandisha Daraja la Ligi Kuu Bara msimu ujao timu ya Ken Gold ya Mbeya.

Mohamed Samatta anayecheza nafasi ya kiungo mshambuliaji alikuwa na msimu bora na kikosi hicho katika Mashindano ya Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) msimu huu.

Kabla ya kiungo huyo hajajiunga na timu hiyo amewahi kuzitumikia timu za Mbeya City, KMC, Mbagala Market na African Lyon.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI