RASMI PACOME KUWAVAA TABORA UNITED KESHO

Baada ya Kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na majeraha ni rasmi Kiungo Pacome Zouzoua amefanya mazoezi jana pamoja na wachezaji wenzake kujiandaa na mchezo dhidi ya Tabora United siku ya Jumatano.

Pacome aliumia katika mchezo was Ligi Kuu bara dhidi ya Azam FC ambapo Yanga ililala kwa mabao 2-1 na tangu alipoumia hajaonekana tena huku kukiwa na kila aina ya fununu zinazovuma juu yake


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI