Pesa za AFL kusaidia klabu za Afrika- Motsepe

Rais wa CAF Dkt Patrice Motsepe anasema pesa zitakazotolewa na AFL zitasaidia vilabu vya Afrika kuweza Kutunza Wachezaji wao Bora watakao Wazalisha.

"Tunaweza kushindana na kuwalipa wachezaji wetu wa Kiafrika zaidi ya kile wanachopata katika Baadhi ya Nchi za Ulaya"


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA