PAMBA YAREJEA LIGI KUU BARA

-Hatimaye baada ya miaka 23 timu ya Pamba Jiji FC ya Mwanza imefanikiwa kupanda Ligi Kuu ya NBC baada ya leo kushinda kwa magoli 3-1 dhidi ya Mbuni FC ya Arusha.

Pamba wameungana na Kengold FC ya Mbeya kupanda Ligi Kuu bara msimu huu moja moja . huku Mbeya Kwanza na Biashara United ya Mara zitacheza play off ya kutafuta nafasi ya kupanda Ligi Kuu bara

.

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI