MPIGA PICHA MILLARD AYO AFARIKI DUNIA

Mpiga Picha na Mwandishi wa Habari wa Emillardayo Bayotv_ Noel Mwingila (Zuchy) amefariki
dunia Alfajiri ya leo Baada ya Kupata ajali ya Pikipikii Maeneo ya Makonde - Mbezi, Dar es salaam.

Zuchy ni mmoja mwa wapigapicha Mahili kwenye Tasnia ya Habari na alifanikiwa kufanya kazi na watu mbalimbali.

Kwa taarifa iliyotolewa na mtu wa karibu ameeleza kuwa ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa usiku

Zuchy enzi za uhai wake

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI