MDAKA MISHALE WA ZESCO KUTUA AZAM FC

Inaelezwa kuwa Azam FC inamfuatilia Kwa karibu kipa wa Zesco United ya Zambia Ian Otieno raia wa Kenya mwenye umri wa miaka 30.

Mlinda mlango huyo ndiye atakaenda kuchukua ya mlinda mlango wa sasa wa Azam FC, Mohamed Mustafa.

Mostafa Mohamed anadaiwa kurejea kwenye klabu yake ya El Merreikh mwishoni mwa msimu baada ya kumaliza mkataba wake mkopo ndani ya Chamazi.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI