KOCHA WA FULHAM KUMRITHI BENCHIKHA


Kocha Omar Najhi anatazamiwa kuteuliwa kuwa kocha mkuu mpya wa Simba SC mkataba umekamilika.

Makubaliano yametiwa muhuri usiku wa kuamkia leo kwa mkataba wa miaka miwili - na atahudumu hapo hadi Juni 2026 kama Omar Najhi alivyokubali.

Simba SC imechukua hatua hiyo ya kuziba pengo la Abdelhack Benchikha aliyeondoka klabauni hapo siku ya jana.

Mazungumzo na kocha aliyekuwa kocha wa vijana wa Fulham na kocha msaidizi wa Wydad casablanca ya Morocco ambaye atasaini mkataba baadaye wiki hii.

Mrithi wa Abdelhak Benchikha

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI