KINACHOMWONDOA BENCHIKHA SIMBA HIKI HAPA


"Nimeomba kuondoka klabu mwishoni mwa msimu huu kutokana na sababu zangu binafsi (kifamilia) nahitaji kuwa nyumbani Algeria."

"Ligi ya hapa sidhani kama itaweza kunipa thamani pia nahitaji kubeba ubingwa wa afrika kitu ambacho hakiwezekani kutokana na aina ya timu niliyonayo."

Kocha Abdelhak Benchikha

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI