KENGOLD YABISHA HODI JANGWANI


Klabu ya Kengold iko kwenye rada za kuwania saini ya kiungo mshambuliaji Farid Mussa ambaye amekuwa hapati nafasi mara kwa mara ndani ya Yanga SC.

Farid Mussa anatarajiwa kusaini Mkataba wa miaka miwili na miamba hao waliopanda ligi kuu kwa Msimu ujao.

Ikumbukwe Farid Mussa Malik yuko chini ya management ya Oscar Oscar.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI