KAMBOLE AIPONZA YANGA, YAFUNGIWA NA FIFA


FIFA imewafungia Yanga ya Tanzwnia kufanya usajili wa Kimataifa hadi watakapomlipa Lazarus Kambole ambae anadai fidia ya kuvunjiwa mkataba wake na malimbikizo ya mshahara

TFF nao wameifungia Yanga kufanya usajili wa ndani kutokana na kosa hilo


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI