BARBARA HATIHATI KURUDI SIMBA


Klabu ya Simba SC imeanza mchakato wa kumtafuta CEO mpya baada ya Iman Kajula kujiuzulu siku chache zilizopita.

Barbara Gonzalez amekataa kurudi ndani ya klabu ya Simba baada ya Mangungu kukataa kujiuzulu. Mangungu amesema hawezi kujiuzulu sababu yeye amechaguliwa na wanachama na amesema wasubirie mpaka mkutano mkuu wa Wanachama

Simba imepanga kutangaza mabadiliko ya safu ya uongozi baada ya msimu huu kumalizika.

Viongozi wa Klabu ya Simba bado wanaimani na kocha wao Benchikha na wamemuahidi kumpa ushirikiano kwa mechi zilizobaki na kuanzia msimu ujao


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI