AZAM YAIFUATA SIMBA FAINALI YA LIGI YA MUUNGANO

Timu ya Azam FC usiku huu imetinga fainali ya michuano ya Ligi ya muungano baada ya kuilaza KMKM mabao 5-2 katika uwanja wa New Amaan Zanzibar.

Kwa ushindi huo sasa Azan itacheza fainali na Simba SC ambao katika mchezo wake jana iliifunga KVZ mabao 2-0, kwa vyovyote mchezo huo wa fainali utakuwa wa aina yake kutokana na timu hizo kukamiana vikali.

Mabao ya Azam yamefungwa na Abdul Sopu (mawili), Nathaniel Chilambo, Iddi Nado na Iddi Kishindo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI