AZAM YAIFUATA SIMBA FAINALI YA LIGI YA MUUNGANO

Timu ya Azam FC usiku huu imetinga fainali ya michuano ya Ligi ya muungano baada ya kuilaza KMKM mabao 5-2 katika uwanja wa New Amaan Zanzibar.

Kwa ushindi huo sasa Azan itacheza fainali na Simba SC ambao katika mchezo wake jana iliifunga KVZ mabao 2-0, kwa vyovyote mchezo huo wa fainali utakuwa wa aina yake kutokana na timu hizo kukamiana vikali.

Mabao ya Azam yamefungwa na Abdul Sopu (mawili), Nathaniel Chilambo, Iddi Nado na Iddi Kishindo

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI