YANGA YAVUNJA REKODI KWA MKAPA

Kwa mara ya kwanza uwanja wa Benjamin Mkapa ulijaa na waliojaza huo uwanja si wengine bali ni mashabiki wa Yanga mashabiki elfu sitini 60000 hadi Azam TV waliwataarifu mashabiki waliopo nje ya uwanja warudi nyumbani wafuatilie mchezo kupitia televisheni uwanjani hakuna nafasi ya kukaa

Kwa maana hiyo Yanga imeweka rekodi kwa kujaza mashabiki wengi kuliko timu yoyote hapa nchini iliyoweza kujaza mashabiki wengi


#𝗗𝘂𝗸𝗲𝘂𝗽𝗱𝗮𝘁𝗲𝘀

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI