YANGA YAIVIMBIA MAMELODI

Na Shafih Matuwa

Wawakilishi wengine was Tanzania katika michuano ya kimataifa Yanga SC usiku huu wameilazimisha sare 0-0 Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika mchezo wa robo fainali ya Ligi ya mwbingwa Afrika katika uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.

Mchezo uliokuwa mkali na mgumu ambapo timu zote zilifanya mashambulizi kwa zamu, Yanga leo imewakosa wachezaji wake tegemeo watatu Pacome Zouzoua, YKouassi Yao wote raia wa Ivory Coast na Khalid Aucho.

Kwa matokeo hayo sasa Yanga inahitaji sare ya mabao ili iweze kusonga mbele huku Mamelodi wanatakiwa kushinda kwa njia yoyote

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI