VINARA WA MAGOLI LIGI YA MABINGWA AFRIKA, PACOME NDANI

Na Van Mapande

Orodha ya Wachezaji (5) Vinara wa Magoli Katika Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF Champions League) mpaka Sasa huku Kinara akiwa Mshambuliaji Sankara Karamoko ambaye alishatimka katika Klabu ya ASEC Mimosas katika dirisha la Usajili la mwezi January na Kujiunga na Klabu ya Wolfsberger AC ya Austria.

1. Sankara Karamoko(Asec) - 5️⃣
2. Pacome Zouzoua(Yanga) - 4️⃣
3. Saido Ntibanzonkiza (Simba) - 4️⃣
4. Fiston Mayele(Pyramids) - 3️⃣
5. Glody Likonza(Mazembe) -3️⃣



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI