SIMBA YATOA MSAADA KWA WATOTO WA KURASINI

Klabu ya Simba kwa kushirikiana na wanachama imetoa misaada kwenye Makazi ya Watoto yaliyopo Kurasini, Dar es Salaam.

Simba imeamua kutoa misaada kwa watoto hao ikielekea kwenye mchezo wake wa robo fainali dhidi ya Al Ahly utakaofanyika kesho kwenye uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam.

Lakini pia Imetoa msaada huo katika kipindi hiki cha mfungo wa Kwaresma na Ramadhan ikiwa na kauli mbiu "Mechi ni mashabiki"


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI