AL AHLY WALIVYOWASILI DAR ES SALAAM KINYONGE

Klabu ya Al Ahly imewasili Tanzania kwa ajili ya mchezo wa hatua ya robo fainali ya CAFCL dhidi ya Simba SC, Ijumaa katika dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Hii ni mara ya pili kwa Simba na Al Ahly kukutana msimu huu, mara yao ya kwanza ilikuwa kwenye michuano ya African Football League (AFL) ambapo zilifungana 3-3, yaani 2-2 jijini Dar es Salaam na 1-1 jijini Cairo







Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI