ZUCHU AVUNJA REKODI

Malkia wa bongofleva nchini Zuchu amevunja rekodi baada ya kufikisha watazamaji zaidi ya 500 milioni katika mtandao wa youtube.

Zuchu ndiye msanii wa kike wa kwanza kufikisha total views zaidi ya 500 milioni katika mtandao wa YouTube East Africa. 

Hivi ni yeye malkia wa muziki East Africa?

Zuchu

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Kocha Simba anataka wachezaji wapya watano

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI