YANGA WAKISHINDA 4-0 WANAFUZU MOJA KWA MOJA


Yanga wanahitaji kushinda 4 dhidi ya CR Belouzdad ili kufuzu moja kwa moja leo
Wakishinda hizo wametinga robo fainali bila kusubiri mechi ya Ahly.

Wakishinda chini ya hapo watatakiwa kwenda kutafuta alama 1 kule Cairo kwa Ahly! Wakisare watatakiwa kwenda kushinda kule kwa Ahly kisha waombe Belouzdad atoe sare dhidi ya Medeama au apoteze


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI

STAA WETU: JEREMIA JUMA MTOTO WA JUMA MGUNDA ALIYEIKACHA SIMBA NA KUENDELEA NA UASKARI

MAKALA: SIMBA NI TIMU YA KWANZA TANZANIA KUINGIA NUSU FAINALI AFRIKA