YANGA WAKISHINDA 4-0 WANAFUZU MOJA KWA MOJA


Yanga wanahitaji kushinda 4 dhidi ya CR Belouzdad ili kufuzu moja kwa moja leo
Wakishinda hizo wametinga robo fainali bila kusubiri mechi ya Ahly.

Wakishinda chini ya hapo watatakiwa kwenda kutafuta alama 1 kule Cairo kwa Ahly! Wakisare watatakiwa kwenda kushinda kule kwa Ahly kisha waombe Belouzdad atoe sare dhidi ya Medeama au apoteze


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI