VLADMIR PETROVIC KOCHA MKUU ALGERIA


Shirikisho la Soka nchini Algeria [FAF] limemteua kocha Vladmir Petrovic mwenye umri wa Miaka (60) raia wa Bosnia and Herzegovina kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya Taifa hilo akichukua nafasi ya Kocha Djamel Belmadi aliyefutwa kazi mwezi Uliopita.

Vladimir Petkovic atakuwa na kibarua cha kuisaidia timu hiyo kufuzu kwa michuano ya AFCON 2025 nchini Morocco na Kombe la Dunia la 2026 katika nchi za Mexico , Canada na Marekani, Kocha Huyo amewahi kuionoa timu ya Taifa ya Swirtzerland, na Klabu za Lazio ya Italia, Young Boys FC Sioni za Switzerland Pamoja na Bordeaux ya Ufaransa

L

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI