SIMBA YANUKIA ROBO FAINALI

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC usiku huu imeilazimisha Asec Mimosas sare tasa 0-0 katika uwanja wa Humphrey Felix mjini Abidjan nchini Ivory Coast na kushika nafasi ya pili nyuma ya Asec iliyofuzu robo fainali ya Ligi ya mabingwa Afrika.

Simba sasa inasubiri mchezo wake wa mwisho dhidi ya Jwaneng Galaxy utakaofanyika jijini Dar es Salaam.

MSIMAMO WA KUNDI B

1. Asec (5) — 11pts
2. Simba (5) — 6pts
3. Jwaneng (4) — 4pts
4. Wydad (4) — 3pts


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI