SIMBA WAANZA SAFARI YA TANZANIA

Kikosi cha Simba kimeanza safari ya kurejea Nchini Tanzania kikitokea Ivory Coast tayari kwa maandalizi ya mchezo wa kufa na kupona dhidi ya Jwaneng Galaxy ambapo Simba inatakiwa kushinda ili iungane na Yanga kwenye hatua ya Robo Fainali ya Klabu Bingwa Barani Afrika.



Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI