RIGOBERT SONG ATIMULIWA CAMEROON


Kocha Rigobert Song hatoendelea kuwa kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Cameroon Kocha huyo mwenye umri wa Miaka (47) amemaliza mkataba wake na Shirikisho la soka la nchi hiyo FECATOOT limeamua kuachana nae.

Takwimu za Rigobert Song Akiwa na Timu ya Taifa ya Cameroon.

🏟 Mechi: 23
✅ Kushinda: 5
🤝 Sare: 9
❌ Kupoteza: 9


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI