MOSES PHIRI AANZA KUTUPIA ZAMBIA


Mshambuliaji hatari,Mosses Phiri hapo jana (Jumapili) aliifungia bao timu yake ya Power Dynamos na kufanikisha kupata alama moja dhidi ya wababe Zesco United.

Hii ni mechi ya kwanza kwa Phiri tangu ajiunge na timu hiyo akitokea Simba Sc





Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI