MO DEWJI ADAI AMEINUNUA SIMBA


Mohammed Dewji

"Nafikiri kitu cha gharama zaidi nilichonunua kwenye maisha yangu ni klabu ya mpira ya Simba yenye zaidi ya mashabiki million 35 na niliipenda timu hii toka enzi za ujana wangu".

*Niliinunua klabu hii miaka mitano iliyopita na nimeifanya klabu hii kuwa miongoni mwa klabu 10 bora zaidi barani Afrika ni jambo kubwa inaleta furaha sana".

Mohammed Dewji, Mwekezaji wa Klabu ya Simba SC

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI