INONGA MGENI RASMI SIMBA VS JWANENG

“Mgeni rasmi katika mchezo dhidi ya Jwaneng Galaxy ni Henock Inonga sababu ndio mchezaji pekee katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ameifikisha timu yake ya taifa DR Congo kwenye nafasi ya nne kwenye AFCON iliyomalizika hivi karibuni.

Hayo yamesemwa na Afisa Habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally, tayari wachezaji wa Simba wamewasili leo wakitokea Ivory Coast ambapo walienda kucheza na Asec Mimosas na kutoka sare tasa 0-0

Inonga

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI