HARMONIZE KUSAINI WAPYA WAWILI KONDE GANG

Boss wa lebo ya Konde Gang, #Harmonize ametangaza kusaini wasanii wapya wawili mwaka huu 2024 kwenye lebo hiyo na kuongeza kuwa isingekuwa ushauri wa msanii wake Ibraah basi angekata tamaa kusapoti wasanii wengine.

KondeGang hivi sasa imebaki na msanii mmoja pekee ambaye ni Ibraah baada ya wasanii wengine akiwemo Country Wizzy, Killy, Cheed na Anjella kuondoka katika nyakati tofauti.

Harmonize

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI