DAKTARI WA AZAM FC AFARIKI DUNIA

Klabu ya Azam FC, imetangaza kifo cha aliyekuwa daktari wa timu hiyo, Mwanandi Mwankemwa, kilichotokea leo jioni katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke.

Dkt. Mwankemwa alianza majukumu yake Azam FC, mwaka 2008, na katika kipindi chote cha utendaji wake, amehusika kuwasindikiza wachezaji katika matibabu ya ndani na nje ya nchi.

Mwankemwa aliingia katika udaktari michezoni mwaka 1982 na wakati huo alianza na timu JKT Ruvu, Sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye sote tutarejea

Dk Mwamkemwa

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI