YANGA YAWEWESEKA KWA KILANGALANGA


Mabosi wa Yanga wametua kwa straika wa timu ya Bisha FC ya Saudi Arabia, Glody Kilangalanga ambaye alijiunga na klabu hiyo msimu huu inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini humo ambaye wanaamini atawafaa.
.
Kilangala (23) ana mkataba na timu hiyo ambayo alitua akitokea CS Chebba ya Tunisia, ambapo Yanga inataka kufanya biashara moja kati ya mbili, ama kuuziwa au kupewa kwa mkopo.


Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FIFA yatoa orodha ya vilabu bora duniani, Simba na Yanga zachuana vikali

Beno Ngassa mdogo wa Mrisho Ngassa anayekipiga Tanzania Prisons

HISTORIA YA TIMU YA MASHUJAA YA KIGOMA, KUMBE NI SHEA YA JESHI NA WANANCHI